Posts

zijue silaha 5 katika ulimwengu wa roho

Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho. Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza ni ufalme wa nuru na falme ya pili ni ufalme wa giza. Falme zote hizi zina muundo na uongozi na mamlaka kamili.Katika viumbe vyote binadamu ndiyo kiumbe pekee mwenye sifa ya kuweza kuishi katika ulimwengu wa kiroho na ulimwengu huu wa kimwili kwa wakati mmoja.Inawezekana umesoma vitabu vingi sana na kufanya jitihada nyingi sana ili ufanikiwe katika maisha yako lakini bado umeshindwa. Nakushauri fuatilia darasa hili kwa umakini na siku ukimaliza Lazima ufanikiwe kwa kuwa manbo yote huanzia katika ulimwengu wa kiroho na ndicho utakachojifunza hapa.  Zifuatazo ni silaha kuu tano za ulimwengu wa kiroho.  1. Damu 2. Jina 3. Kiti 4. Maneno 5. Ardhi na Mbingu Ukiweza kujifunza silaha hizi kwa umakini,utaweza kujua ulimwengu wa kiroho unavyofanya kazi,utapata nguvu za kuingia katika ulimwengu...

WINE IS A MOCKER

 _"Wine is a mocker and beer a brawler; whoever is led astray by them is not wise" (Proverbs 20:1)._ The LORD communicates to us through our senses. He is delighted in voluntary sane responses to His love from His people. When one takes strong wine or beer, their senses are tempered with and they are moved to say or do what they would not otherwise do had they not taken wine. No matter how much people, even some clergy, try to justify beer drinking, its horrible effects are everywhere for the wise to see. Marriages have been ruined, relationships have been destroyed and above all, many crimes have been committed under the influence of beer or strong wine. According to Solomon, whoever tries to justify the drinking of beer is not wise. If you want to celebrate, you don't need to become a bit insane to enjoy. You have to celebrate with your clear mind because you will be responsible for whatever you do. Some people have concluded that celebration occasions where beer is abs...

seventh Adventist day church logo

Image
Exodus 20:8

Nani atapata fedheha

Mwanaume mmojaa alikuwa anamlazimisha mkewe kufanya mapenzi gizani kwa muda wa miaka kumi. Ndipo siku moja mwanamke uzalendo ukamshinda na kuamua kuwasha taa kwa ghafla. Ile kawasha tu, tualipigwa na bumbuwazi baada ya kuona kuwa kumbe mumewe ana uume wa bandia! Mwanamke alihamaki na kumwambia mume wake haya naomba maelezo haraka kabla sijakinukisha kwa majirani na marafiki zako?  Mwanaume akajibu Mimi ndio naomba maelezo makubwa mno, nataka uniambie hawa watoto wetu watatu wamepatikana vipi?🤣🤣   Swali: Nani atapatwa na fedheha zaidi, deal lake likibumburuka. 🤣🤣 A. 𝗠𝘄𝗮𝗻𝗮𝘂𝗺𝗲👨🏾 B. 𝗠𝘄𝗮𝗻𝗮𝗺𝗸𝗲👩🏽

FAIDA 48 ZA JUISI YA TANGAWIZI AMBAZO ULIKUWA HUZIJUWI

  1. Huondoa sumu mwilini haraka sana 2. Huua bakteria wa aina nyingi mwilini hata salmonella ndani ya mwili hata juu ya ngozi 3. Kuna viua vijasumu (antibiotics) vya asili viwili kwenye tangawizi 4. Huondoa uvimbe mwilini 5. Huondoa msongamano mapafuni 6. Tangawizi inayo ‘zingibain’ ambayo huua vimelea mbalimbali vya magonjwa na mayai yake 7. Huondoa maumivu ya koo 8. Huua virusi wa homa 9. Huondoa maumivu mbalimbali mwilini 10. Huondoa homa hata homa ya baridi (chills) 11. Hutibu saratani ya tezi dume. Tangawizi huua kimeng’enya ambacho ni chakula cha seli za kansa ya tezi dume kiitwacho ‘5-LO enzymes’ na seli hizo za kansa hufa ndani ya masaa mawili au manne bila hicho kimeng’enya. 12. Tangawizi ina kiinilishe mhimu sana ambacho huzuia kuongezeka kwa seli za kansa ya kongosho kiitwacho kwa kitaalamu kama ‘gingerol” 13. Hutibu kansa zinazoweza kusababishwa na kupata choo kigumu muda mrefu (constipation-r elated cancer) 14. Ni dawa nzuri kwa kansa ya kwenye damu (leukemia) 15. Ni ...

Never dare God !! I repeat, NEVER DARE GOD!!!

The Titanic boat ⛵️ owner said: "Not even God can sink this boat′′ and you know what happened? The boat ⛵ sank soon after. Marilyn Monroe said: "I don't need JESUS." 3 days later, she was found dead. A mother said to her daughter, "God be with you." Ironically, the daughter replied, "There is no room in the car except in the trunk." On their trip, there was an accident where all the people inside the car died, but the trunk remained intact, the crates of eggs in the truck no one of it was broken.  A Dad told his Son, "may God protect you", and the son said, "my friends will protect me more than God", when He was returning from his work a stray bullet killed him where the friends watched but could not protect him. A boy went to a church and started urinating on the cross saying "there is no GOD", the next day, he lost his arms and confessed to the desecration. The Brazilian people celebrated their satanic festival and ...

*I JUST REMIND YOU THESE IMPORTANT THINGS TO DO IF YOU ARE 40+ YEARS OLD AND YOU WANT TO BE HEALTHY, TAKE CARE OF THESE

 *SET A HABIT OF TESTING FREQUENTLY*   1. Blood pressure   2. Blood Level Sugar/diabetes   3. Level of fat/Cholesterol 4. Level of Hormones 5. Prostate 7. Cancer  *REDUCE*   1. Salt   2. Sugar   3. carbohydrates   4. Milk   5. Processed foods   6. Too much fat  *Use more:*   1. Vegetable   2. Cereals   3. Beans   4. Seeds   5. Eggs   6. Natural oils such as olives, fish, coconut and derived from seeds...)   7. Fruits *THREE THINGS YOU SHOULD REMEMBER:*   1. Your age   2. The past   3. Your regrets *THREE VERY IMPORTANT THINGS:*   1. Your friends   3. Your positive thoughts   4. Your beautiful home. *THREE BASIC THINGS:* 1. Always smile/laugh   2. Practice at home 3. Check and balance your weight *SEVEN THINGS TO CONSIDER:*   1. Don't wait for thirst to drink water   2. Don't wait to fall asleep before going to sleep   3. Don't wait until you ar...