TUMIA NJIA HIZI KUACHA KUJICHUA (MASTERBATION)*
Hebu Jiulize Katika Nafsi Yako Kuwa Ni Sahihi Kuendelea kujichua au kuacha Kujichua ? Jibu Bakia Nalo.... *Endelea Na Elimu 👇* *1. Acha Kuangalia Video Za Ngono;* video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi Hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto , Hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako. *2. Weka Mipango Ya Kuzuia Kupiga Punyeto Wakati Wa Kuoga;* Bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto , hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto. *3. ...